• HABARI MPYA

    Sunday, June 08, 2014

    MVUA YA MAWE YAVAMIA UWANJANI UBELGIJI IKIILAZA TUNISA 1-0

    MVUA ya mabaravu mfano wa mipira ya tofu  usiku wa jana iliufanya mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya Ubelgiji iliyoshinda 1-0 dhidi ya Tunisia usimame kwa muda..
    Mchezo ulisimama dakika ya 40 kupisha hali hiyo na baada ya mambo kuwekwa saws uwanjani ukaendelea.
    Lakini hali hiyo haikuizuia Ubelgiji kushinda, shukrani kwake  mshambuliaji wa Chelsea, Romelu Lukaku aliyetokea benchi dakika ya 61 kuchukua nafasi ya kinda wa miaka 19, Divock Origi.
    Mshambuliaji wa Manchester United, Adnan Januzaj alichea mechi yake ya kwanza rasmi ya kimataifa jana, wakati mshambuliaji mwingine wa Chelsea, Eden Hazard aliwakimbiza mno mabeki wa Tunisia.
    Nikamateni kama mnaweza: Nyota wa Chelsea, Eden Hazard (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Tunisia, wakiongozwa na Houcine Nater (kulia) jana
    Ice, ice, baby: Hail stones the size of gold balls called Belgium's game against Tunisia to be delayed
    Postponed: The World Cup Brazuca ball lies on the pitch after the hailstorm forced players to retreat
    Mpira wa Kombe la Dunia mwaka huu, Brazuca ukiwa umezungukwa na mabarafu mfano wa mipira ya gofu uwanjani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MVUA YA MAWE YAVAMIA UWANJANI UBELGIJI IKIILAZA TUNISA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top