• HABARI MPYA

    Friday, September 21, 2012

    SHEREHE ZA SIMBA NA YANGA KUKABIDHIWA MABASI MAKUBWA ZAFANA TBL

    Mabasi

    Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kulia akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mussa Katabaro

    Mashabiki

    Kulia Rage akijadili na Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL

    Rage akimuonyesha kipengele tata Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah

    Dole la Rage katika kipengele tata
    Sanga akikabidhiana makabrasha ya basi na Mkurugenzi wa TBL

    Rage akibadilishana makabrasha na Mkurugenzi wa TBL
    Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa kushoto akisaini kabrasha

    Rage akikabidhiwa mfano wa ufunguo


    Sanga akikabidhiwa mfano wa ufunguo

    Add caption

    Mashabiki wa Simba wakilizindua basi lao

    Mashabiki wa Yanga wakilizindua basi lao

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHEREHE ZA SIMBA NA YANGA KUKABIDHIWA MABASI MAKUBWA ZAFANA TBL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top