• HABARI MPYA

    Friday, June 15, 2012

    TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA USIKU HUU DIAMOND JUBILEE

    Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake


    Familia ya ndondi


    Wadau wa ndondi
    Tedi Mapunda kulia na bosi wake 


    Eiphraim Mafuru kulia


    Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi


    Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi'


    Kaburu kulia akikabidhi tuzo


    Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo


    Athumani Hamisi akikabidhi tuzo


    Asha Baraka akikabidhi tuzo


    Mafuru akikabidhi tuzo


    Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana


    Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo


    Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir


    Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi


    Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho


    Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka 


    Ally Choky akikabidhi tuzo


    Mafuru akipakia msosi


    Kim Poulsen kulia akiwa na nani sijui


    Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli


    Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi...


    Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo


    Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard


    Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino


    Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo


    Waziri Mahadhi akimpokelea tuzo marehemu baba yake, Omar Mahadhi


    Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011 


    Juma Pinto akikabidhi tuzo


    Zena Chande na swahiba zake


    Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe


    Tullo Chambo na bosi wake


    Akina nani sijui hawa


    BIN ZUBEIRY kulia na Shaffih Dauda


    MAJINA YA WASHINDI

    1: OLIMPIKI MAALUM-Zanzibar
    Ahmada Bakar:

    2:OLIMPIKI MAALUM-TANZANIA BARA
    HERITH SULEIMAN

    3: PARALIMPIKI: WANAUME
    ZAHARANI MWENEMTI

    4:PARALIMPIKI: WANAWAKE
    FAUDHIA CHAFUMBWE

    5: KIKAPU: WANAUME
    GEORGE TARIMO:

    6:  KIKAPU WANAWAKE
    EVODIA  KAZINJA:-

    7: NETIBOLI:
    LILIAN SYLIDION

    8:  GOFU WANAWAKE:
    MADINA IDDI

    9: GOFU WANAUME:
    Frank Roman:

    10: NGUMI ZA RIDHAA
    SULEIMAN SALUM KIDUNDA

    12:  WAOGELEAJI MWANAMKE
    MAGDALENA MOSHI     

    WAOGELEAJI MWANAUME
    AMMAAR GHADIYALI  -  MEN

    13:JUDO...
    AZZAN HUSSEIN KHAMIS (ZANZIBAR)
    14:JUDO BARA: . MBAROUK SELEMANI

    14: WAVU WANAWAKE
    THERESIA ABWAO  

    15: WAVU WANAUME
    MBWANA ALLY

    16: NGUMI ZA KULIPWA
     Nasibu Ramadhan

    17. TENISI:Wanaume
    WAZIRI SALUMU

    18. TENISI WANAWAKE: 
    REHEMA ATHUMANI

    20: BAISKELI (Wanawake)
    Sophia Hussein
    -
    21: BAISKELI WANAUME
    Richard Laizer

    22: WACHEZAJI WA TANZANIA WANAOCHEZA NJE
    Mbwana Samatta-

    23: MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI
    SHOMARI KAPOMBE- (soka) SIMBA

    24: MCHEZAJI WA NJE ANAYECHEZA TANZANIA
    Emmanuel Okwi-Simba

    25: SOKA (WANAWAKE)
    MWANAHAMISI OMARI

    26: SOKA WANAUME
    Aggrey Morris-Azam:

    27: RIADHA
    WANAWAKE
    Zakia Mrisho:

    28: RIADHA WANAUME
    Alphonce Felix:

    29: MIKONO WANAUME
    Kazad Monga-Magereza Kiwira
    Faraji Shaibu  Khamis-Nyuki Zbar

    30:  MIKONO WANAWAKE
    Zakia Seif-Ngome Dar

    31: Kriketi WANAWAKE
    Miss. Monika Pascal

    32; KRIKETI WANAUME
    Mr. Kassimu Nassoro

    33: TUZO YA HESHIMA:
    KIKOSI KILICHOFUZU FAINALI ZA MATAIFA YA AFRIKA 1980

    34:MWANAMICHEZO BORA WA TANZANIA MWAKA 2011-
    SHOMARI KAPOMBE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA USIKU HUU DIAMOND JUBILEE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top