• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Tuesday, April 16, 2024
    DODOMA JIJI YATOA SULUHU NA JKT TANZANIA LEO JAMHURI

    DODOMA JIJI YATOA SULUHU NA JKT TANZANIA LEO JAMHURI

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamelazimishwa sare ya mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Ji...
    KMC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 PALE PALE MANUNGU KAZI YA SALIBOKO

    KMC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 PALE PALE MANUNGU KAZI YA SALIBOKO

    BAO pekee la Daruwesh Saliboko dakika ya 54 limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Manungu Complex, Turiani...
    Monday, April 15, 2024
    Sunday, April 14, 2024
    AZAM FC YAWACHAPA NAMUNGO FC 2-0 PALE PALE RUANGWA

    AZAM FC YAWACHAPA NAMUNGO FC 2-0 PALE PALE RUANGWA

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa M...
    GUEDE APIGA MBILI, KI MOJA YANGA YASHINDA 3-0 KIRUMBA

    GUEDE APIGA MBILI, KI MOJA YANGA YASHINDA 3-0 KIRUMBA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanza...
    KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE KABLA YA KUIVAA YANGA

    KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE KABLA YA KUIVAA YANGA

    KIPA Beno Kakolanya anadaiwa kutoroka kambini katika klabu yake, Singida Fountain Gate muda mfupi kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    Saturday, April 13, 2024
    KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE KWA DODOMA JIJI, 1-1 KAITABA

    KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE KWA DODOMA JIJI, 1-1 KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    KEN GOLD NA PAMBA ZABISHA HODI LIGI KUU BAADA YA USHINDI LEO

    KEN GOLD NA PAMBA ZABISHA HODI LIGI KUU BAADA YA USHINDI LEO

    WENYEJI, Pamba FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Talents katika mchezo wa Ligi ya NBC Championship jioni ya leo Uwan...
    CHAMA AINUSURU SIMBA KUPIGWA NA IHEFU SINGIDA, DROO 1-1

    CHAMA AINUSURU SIMBA KUPIGWA NA IHEFU SINGIDA, DROO 1-1

    VIGOGO, Simba SC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Ihefu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI mjini Si...
    JKT TANZANIA YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO 1-1 NA TABORA UNITED

    JKT TANZANIA YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO 1-1 NA TABORA UNITED

    WENYEJI, Tabora United wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa...
    GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MTIBWA SUGAR NYANKUMBU

    GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MTIBWA SUGAR NYANKUMBU

    WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
    Friday, April 12, 2024
    COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA

    COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA

    TIMU ya Coastal Unión imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwan...
    PRISONS NA KMC HAKUNA MBABE, 1-1 SOKOINE

    PRISONS NA KMC HAKUNA MBABE, 1-1 SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoi...
    AZAM FC WAWASILI RUANGWA TAYARI KUIKABILI NAMUNGO FC KESHO

    AZAM FC WAWASILI RUANGWA TAYARI KUIKABILI NAMUNGO FC KESHO

    WACHEZAJI wa Azam FC baada ya kuwasili mjini Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Nam...
    Thursday, April 11, 2024
    Wednesday, April 10, 2024
    YANGA SC WATINGA ROBÓ FAINALI KOMBE LA CRDB FEDERATION

    YANGA SC WATINGA ROBÓ FAINALI KOMBE LA CRDB FEDERATION

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano ambayo sasa inajulikana...
    YANGA SC BAADA YA SALA YA EID EL FITRI LEO DODOMA

    YANGA SC BAADA YA SALA YA EID EL FITRI LEO DODOMA

    VIONGOZI na wachezaji wa Yanga SC baada ya sala ya Eid El Fitri leo Jijini Dodoma ambako wapo kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa Hatua ya 16 B...
    RAIS YANGA AMKABIDHI WAZIRI MKUU MSTAAFU DK. MALECELA ‘UZI’ WA WANANCHI

    RAIS YANGA AMKABIDHI WAZIRI MKUU MSTAAFU DK. MALECELA ‘UZI’ WA WANANCHI

    RAIS wa Yanga SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Klabu Afrika, Hersi Ally Said leo amepata mwaliko wa kumtembelea na kumjulia hali Waziri Mku...
    SIMBA SC WASALI EID KIGOMA BAADA YA KIPIGO CHA MASHUJAA JANA

    SIMBA SC WASALI EID KIGOMA BAADA YA KIPIGO CHA MASHUJAA JANA

    MSHAMBULIAJI Mgambia wa Simba SC, Pa Omar Jobe akielekea msikitini kwa sala ya Eid El Fitri leo mjini Kigoma siku moja baada ya kutolewa kwe...
    Tuesday, April 09, 2024
    SIMBA SC YATOLEWA KWA MATUTA KOMBE LA TFF

    SIMBA SC YATOLEWA KWA MATUTA KOMBE LA TFF

    VIGOGO, Simba SC wametupwa nje ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya kufungwa na wenyeji, Mashujaa FC kwa penalti 6-5 kufua...
    Monday, April 08, 2024
    YANGA WAWASILI DODOMA KUTETEA KOMBE LA TFF JUMATANO

    YANGA WAWASILI DODOMA KUTETEA KOMBE LA TFF JUMATANO

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamewasili jioni ya leo Jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzan...
    SIMBA SC YAWASILI KIGOMA KUIVAA MASHUJAA KESHO KOMBE LA TFF

    SIMBA SC YAWASILI KIGOMA KUIVAA MASHUJAA KESHO KOMBE LA TFF

    KIKOSI cha Simba kimewasili salama Kigoma tayari kwa mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya wenyeji,...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top